Mfuko wa Pembejeo za Kilimo (ambao hapa utaonekana kama "Mfuko") ulianzishwa chini ya Sheria ya Mfuko wa Pembejeo za Kilimo, Sura ya 401, Marekebisho ya 2002, kwa lengo la kupunguza pengo la usambazaji wa pembejeo kwa kufadhili uagizaji na usambazaji wa pembejeo za kilimo.
Sababu kuu za kuanzishwa kwake ni mabadiliko ya Sera ambayo yanajumuisha:
Mfuko wa Pembejeo ulionekana kama njia mbadala ya kufadhili ili kuhakikisha upatikanaji endelevu wa pembejeo kwa wakulima.
MADHUMUNI YA KUANZISHWA KWA MFUKO
KAZI ZA BODI YA WADHAMINI
WALENGWA WA MFUKO